Daily Archives: June 14, 2012
TANGAZO LA MUHADHARA KWARARA
BISMILLAH RAHMANI RAHIM
ASSALAMU ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKATUH
WAISLAMU WOTE WA MJINI NA MASHAMBA KIKE NA KIUME MNATANGAZIWA KUHUDHURIA KWENYE MUHADHARA UTAKAOFANYIKA KWARARA MASJID TAALIM KWA BATASHI SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 16JUN2012 UTAANZA BAADA YA SWALATU ASIR. MUISLAMU USIKOSE UKUMBUSHO HUU WA KHEIR, NI MUHIMU KWA AJILI YA DINI NA DUNIYA YAKO.
WABILLAH TAUFIQ
Muelekeo kuelekea ukombozi wa Zanzibar
“Jumuiya ya Uamsho inafanya kazi hiyo kwa kushirikiana kikamilifu na jumuiya na taasisi tafauti za Kiislamu nchini Zanzibar kwa kutetea maslahi ya kupatikana kwa mamlaka kamili ya Serikali ya Zanzibar kutokana na kushindwa kwa vyama vya siasa kutetea Utaifa wa Zanzibar, kwa sababu vyama hivyo vimezingirwa na katiba ya Jamhuri ya Muungano ambayo kimsingi hairuhusu kuzungumza lolote kuhusu Muungano wa Zanzibar na Tanganyika.” Read the rest of this entry