Daily Archives: June 21, 2012
TAMKO LA TAASISI ZA KIISLAMU KUHUSU KUVUNJWA KWA MUHADHARA DONGE
19 JUN, 2012
BISMILLAH RAHMANI RAHIM
TAMKO LA JUMUIYA NA TAASISI ZA KIISLAMU ZANZIBAR
Kila sifa njema anastahiki ALLAH (S.W.T), Rehma na Amani zimuendee Mtume Muhammad (S.A.W), watu wake, Maswahaba zake na walio wema katika Uislamu.
Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar baada ya kufuatilia kwa hatua za awali na kufanya tathmini ya hali ya mambo namna ilivyotokea tarehe 17 juni, 2012 inatoa tamko RASMI kama ifuatavyo: Read the rest of this entry